1. K:/: Roho wa Mungu, Njoo kwetu, njoo, Roho wa Mungu W:Njoo kwetu njoo:/ K:Kanisani, W:Njoo kwetu, njoo. K: Kwa wachungaji, W: Njoo kwetu, njoo. K:Kwa walimu, W:Njoo kwetu, njoo K: Kwa waganga, W:Njoo Kwetu, njoo K:Kwa Wakristo, W: Njoo kwetu, njoo. 2. K:/: Roho wa Mungu, Njoo kwetu, njoo Roho wa Mungu, W:Njoo kwetu, njoo:/ K: Mashuleni, W: Njoo kwetu, njoo. K: Kwa wasichana, W: Njoo kwetu, njoo. K:Kwa watoto, W:Njoo kwetu, njoo. K:Kwa Wakristo W: Njoo kwetu, njoo. 3. K:/: Roho wa Mungu, Njoo kwetu, Njoo Roho wa Mungu, W: Njoo kwetu, njoo:/ K: Shidani W:Njoo kwetu, njoo. K:Katika njaa, W:Njoo kwetu, njoo. K: Kifoni, W: Njoo kwetu, njoo. K;Furahini, W:Njoo Kwetu, njoo, K: Siku zote, W: Njoo kwetu, njoo 4. K:/: Roho wa Mungu, Angaza, uone ndani. Ya moyo wangu W: Angaza uone ndani:/ K:Kuna dhambi W:Angaza, uone ndani. K:Nyingi sana, W:Angaza, uone ndani K: Uniongoze W:Angaza, uone ndani K: Nitubu, W:Angaza, uone ndani K: Kwa faraja, W:Union...