90.Mtini Mponya Alipowambwa

1. Mtini Mponya alipowambwa, 
ndipo nimwombapo upozi 
akaniokoa mpenzi. 
Mwana wa Mungu.
   Mwana wa Mungu
   Mwokozi wangu.
   Mtini mponya 
   alipowambwa,
   Mwana wa Mungu!


2. Chini ya mti wenye 
   uchungu, 
  ndipo nimwombapo usafi, 
  mara kwa damu kaniosha 
  Mwana wa Mungu.
     Mwana wa Mungu….


3. Akaniondolea manza, 
ameingia ndani mwangu, 
kwani mtini amenifia.
Mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu….


4. Ziwa la damu ya kiasi, 
    linatosa makosa yote,
    laniendesha wokovuni.
   Mwana wa Mungu.
   Mwana wa Mungu…..


5. Hicho kijito chenye mali!
U tayari kuzama humo?
Humo utaona uzima!
Mwana wa Mungu.
   Mwana wa Mungu…..



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu