143.Mungu ni wa Utukufu
1. Utukufu ni wa Mungu juu,
tukuzo lote, uwezo wote
ni wa Mungu,
Bwana wetu, Bwana Wetu,
Mungu ni wa pekee
Shangilio lake
Lijaze katika dunia popote,
Jina lake litukuzwe
na watu wote.
Tumshangilie Mungu
wetu
na Bwana wetu nyimbo za tukuzo
tumpeni heshima zote,
tumwimbie,
Sifa na tukuzo zampasa
zote ni zake Mungu wetu!
Comments
Post a Comment