93.Njoo Msalabani
1. Njoo msalabani
ukilemewa,
wewe msafiri!
Kwenye msalaba
utapumzika,
ndiyo raha.
2. Wamwona Mwana
Kondoo wa Mungu,
akichukua
mshahara mkuu
wa makosa yako
akufia
3. Yesu asiye mkosaji hata,
ahukumiwa.
Waona jinsi akupendavyo
awe mdhambi?
Comments
Post a Comment