96.Wakristo Twabeba Nini?


1. K: Wakristo twabeba nini?
W: Msalaba wake Yesu; 
   Twenda
   twashutumiwa.


2. K: Wakristo twavaa nini?
W: Twavaa vazi la Yesu;
Twaenda twashutumiwa.


3. K: Wakristo twaenda
  wapi?
W: Twaenda njia ya Yesu,
Ni njia yenye mateso.


4. K: Mwokozi twamwona
   pale,
W: Ateswapo Goligota;
Kwa uchungu anapita


5. K: Wakristo tuvumilie
W: Njia hii yenye shida.
Mwisho wake tatashinda.


6. K: Tushinde kwa nguvu
   gani?
W: Yesu ni ushindi wetu.
Katoa ahadi kwetu.


7. K: Mwokozi wetu
   kashinda
W: Mauti nalo kaburi.
Yu hai hata milele.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu