70.Twende Vitani

1. Twende vitani vitakatifu,
Zikitujia , shida na taabu.
Ngurumo zivume kutia
Woga.
     Mwiteni Mwokozi!
 Yesu mwanga.


2. Ingawa giza lawafunika,
Na raha yenu ikizimika,
Na nguvu za muovu
 hazina mpaka
    Mwiteni Mwokozi….


3. shetani aje, akijaribu
Kuvunja kazi na kuharibu
Hila zake zote na
 zitakwisha.
    Mwiteni mwokozi



Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu