124.Mbinguni Nani?

1. K: Mbinguni nani?
 W: Mbinguni amepaa.
 Ni Yesu Baba.
K: Akawa wapi?
W: Akawa kwa watu,
 wamtia maumivu,
 Akayalipa
 Madeni makubwa,
 na Mungu ampaza:
 Aha! Mtawala!


2. K: Wenzangu nani?
 W: Wenzangu waenda,
 waenda mbinguni.
 K: Na tuwe wapi?
 W: Na tuwe kwa Yesu,
  aliyetulinda.
  Hapa duniani.
  Sasa tunamsifu
  Mwokozi wetu mkuu.
  Aha, yuko juu!


3. Kuimba kwa kifukuzano
 1. Mbinguni nani,
 Mbinguni amepaa.
 Ni Yesu Baba,
 Akawa wapi,
 Akawa kwa watu,
 wamtia maumivu,
 Akayalipa
 Madeni makubwa,
 na Mungu ampaza,
 Aha! Mtawala!


4. 2. Wenzangu nani,
 Wenzangu waenda,
 waenda mbinguni,
 Na tuwe wapi,
 Na tuwe kwa Yesu
 aliyetulinda.
 Hapa duniani,
 Sasa tunamsifu,
 Mwokozi wetu Mkuu.
 Aha, yuko juu.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu