118.Mle Kaburini Yesu Mwokozi.


1. Mle kaburini, Yesu Mwokozi!
Alilazwa chini, Bwana 
wangu!
  Bwana! Amefufuka, 
  kifo kimeshindwa 
  kabisa!
Gizani mle alitoka chini, 
sasa atawala huko 
 mbinguni!
Yu hai! Yu hai!
Bwana Yesu yu hai.


2. Aungoja huo, Yesu Mwokozi!
Mchana ujao, Bwana 
wangu!
Bwana! Amefufuka,….


3. Walinda kaburi,
Yesu Mwokozi!
Bure ni muhuri, Bwana 
wangu! Bwana!
Amefufuka,….


4. Kifo kimeshindwa,
   Yesu mwokozi!
Pingu zimevunjwa,
Bwana Wangu!
Bwana! Amefufuka,…




Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu