133.Uje Roho Mwenye Neema

1. Uje Roho mwenye neema, 
    uje hua wa mbinguni, 
    lete mwanga wa upozi,
     Ee mlinzi na kiongozi!


2. Tuchague njia yako, 
    kweli twaiona sasa, 
    ututie woga mwema, 
    tusimwache Mungu 
    wetu!


3. Tupeleke kwa Mesiya,
    Yeye mwanzo wa uzima, 
     tuyatende mema yote, 
      ndiye njia ya mbinguni!


4. Tupeleke furahani, 
  tukapate kupumzika, 
  tupeleke kwake Mungu, 
  kwake iko raha bora!



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu