107.Kumekucha ni Mzima

1. Kumekucha, ni mzima
Yesu aliyefufuka.
Kaburi lake wazi,
Kufa hakumshiki Yesu.
Sina woga na kifo,
Yesu amefufuka.


2. Kumekucha, ni mzima
   Yesu, aliyefufuka!
  Tunaitwa nduguze, 
   sababu anatupenda.
  Tusiachane naye,
   Yeye aliyeshinda.


3. Kumekucha, ni mzima
Yesu aliyefufuka.
Kamaba zitufungazo
Zimekwisha funguliwa
Mwili wangu uoze, 
sina woga na kufa!



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu