117.Yesu Amefufuka (Haya Shangilia)


1. K: Yesu
   W:Amefufuka
K:Yesu
W:Amefufuka
   ametoka kaburini
K:/: Haya,
W:Shangilia,
K:Haya
W:Shangilia, ametoka kaburini:/


2. K:Shetani
W:Ameshindwa,
K:Shetani 
W: Ameshindwa hana lake 
     duniani.
K:/: Haya,
W:Shangilia
K:Haya
W:Shangilia,
  ametoka kaburini.:/


3. K: Yesu
W: Kawatokea,
K:Yesu
W:kawatokea wanafunzi 
     wake wote
K:/: Haya,
W:Shangilia,
K:Haya Shangilia, 
    ametoka kaburini.:/


4. K:Amani
W:Iwe kwenu,
K:Amani
W:Iwe kwenu, mpokee 
     Roho wangu.
K:/:Haya,
W:Shangilia, 
    ametoka kaburini.:/


5. K:Bwana
  W:Yesu kapaa, sasa yu juu 
       Mbinguni
K:/:Haya,
W:Shangilia,
K:Haya
W:Shangilia, 
      sasa yu juu mbinguni:/


6. K:Sasa
W:Kristo huketi,
K:Sasa
W:Kristo huketi kuumeni 
     mwake Baba
K:/:Haya,
W:Shangilia,
K:Haya
W:Shangilia, 
      sasa yu juu mbinguni.:/


7. K: Hivyo
W:Anatawala,
K:hivyo
W:Anatawala pamoja na 
    Baba yake.
K:/:Haya,
W:shangilia,
K:Haya
W:Shangilia, sasa yu juu 
    mbinguni.:/


8. K:Sisi
W:Tusiogope
K:Sisi
W:Tusiogope, 
amemtuma Roho 
wake,
K:/: Ili
W:Tuwezeshwe,
K:Ili
W:Tuwezeshwe kuwa 
mashahidi wake.:/


9. K: Siku
W:Twaingojea
K:Siku
W:Twaingojea ya kurudi 
      kwake Yesu.
K:/:Kweli
W:Tutaona,
K:Kweli
W:Tutaona, utukufu wake
Bwana.:/



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu