72.Tumesikia mbiu

1. Tumesikia mbiu:
Yesu, loo! Aponya;
itangazeni kote,
Yesu loo! Aponya.
Tiini amri hiyo:
Nchini na baharini,
enezeni mbiu hii:
Yesu loo! Aponya.


2. Imbeni na vitani:
Yesu loo! Aponya;
Kwa nguvu ya Mkombozi,
Yesu, loo! Aponya.
Imbeni wenye shida,
Unapoumwa moyo,
Na kaburini imba:
Yesu, loo! Aponya.


3. Mawibini ienee:
Yesu, loo! Aponya:
wenye dhambi jueni:
Yesu, loo! Aponya
Visiwa na viimbe,
vilindi itikeni,
nchi shangilieni:
Yesu, loo! Aponya.


4. Upepo utangaze:
Yesu, loo! Aponya;
mataifa ya shangaa;
Yesu, loo! Aponya.
Milimani, bondeni,
Sauti isikike
ya wimbo wa washindi:
Yesu, loo! Aponya.




Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu