98.Mungu ameona Tulivyo

1. K: Mungu ameona
W: Tulivyo huku chini,
K: Neno hilo jema
W: Litokalo mbinguni
   /: Ya kwamba Yesu kaja
   na kutuongoza,
   tufike uzimani.:/


2. K: Hujui njia
W: Uende upande gani
K: Nuru yake Bwana
W: Huangaza njiani.
  /: Ya kwamba Yesu….


3. K: Kweli, unajua,
W: Mtu wa duniani.
K: Atakuongoza
W: Upate kuamini.
   /: Ya kwamba Yesu….


4. K: Njooni tufungue
W: Milango ya moyoni
K: Neno lake Bwana
W: Likaingie ndani.
  /: Ya kwamba Yesu…



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu