94.Unipe Nguvu Bwana
1. Unipe nguvu,
Bwana nikumbuke
mateso yako yaliyokupata,
kutukomboa tulioanguka
katika dhambi.
2. Umemtii Baba,
mpaka kufa kwako
mahali petu ulisulubishwa,
makosa yetu yalikua
mengi, umetufia
3. Wokovu wangu
ulinitafuta; nakuangukia
Mwokozi wangu,
nakushukuru nikiitazama
huruma yako.
Comments
Post a Comment