142.Vyenye Uzima Vimtukuze
1. Vyenye uzima vimtukuze,
vimtukuze Bwana,
vimtukuze, vimtukuze
hata na utakatifu wake.
Kwani ameumba
mbingu na nchi.
Vyenye uzima,
vimtukuze,
vimtukuze Bwana,
vimtukuze Bwana,
vimtukuze Bwana,
vimtukuze Bwana.
Na magunda na mazeze
na filimbi na vilangwi
na vinanda
na vimtukuze!
Vyenye uzima na viimbe
vimtukuze Bwana!
Na magunda na vinanda
vyote vimtukuze
Ee Bwana wa Majeshi!
Haleluya!
Comments
Post a Comment