120.Ameingia mbinguni

1. Ameingia mbinguni.
Haleuya
Kristo mwenye utukufu.
Haleuya.


2. Akaa kitini kwa Mungu
Haleluya!
Mkuu wa dunia na 
mbingu.
Haleuya!


3. Sasa limetimilika.
Haleluya!
Agano lote la kale.
Haleluya!


4. Mwana Daudi, Mfalme 
   mkuu.
Haleluya!
Sasa ni Bwana wa wote.
Haleuya!


5. Sababu hii tumsifuni.
Haleluya!
Yesu Mwokozi wetu 
mkuu!
Haleluya!



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu