141.Tumpeni Sifa na Tukuzo

1. Tumpeni sifa na tukuzo, 
sifa na tukuzo ni zake,
Ukuu na nguvu 
zote zimpasaye Mungu, 
ni vya Bwana, ni vya
 Bwana
Na vimtii siku zote.


2. Tumpeni sifa na tukuzo,  
sifa na tukuzo ni zake.
Sifa, maombi na 
nguvu zote ni za Bwana  
siku zote, 
kale yote 
hata itakayokuja.
Amen. Amen



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu