64.Yesu Mwokozi
1. Yesu Mwokozi
mwenye nguvu zote,
wewe Mwana wa Mungu
nitakupenda, nitakusifu,
Uliyempenzi wangu mkuu .
2. Uzuri wote
Wa nchi na milima
Unatufurahisha.
Yesu ni mzuri kupita hiyo
anatufariji sisi.
3. Jua na mwezi
Hata nyota zote
zinang’aa mbinguni.
Yesu ashinda uzuri huo,
ang’aza watu mioyo.
4. Uzuri wote
hapa na mbinguni
ni mfano wa Mwokozi
Tumpende Yeye wa
utukufu
aliyetupenda kwanza.
Comments
Post a Comment