68.Nitakutukuza


1. Nitakutukuza,
Nakuimbia
/: wewe uzima wangu,
Kingojeo change!:/


2. Umeniokoa kwa  
mkono wako,
/: nalifuta njia
Ya upotevuni.:/


3. Wote wakujue
Upole wako,
/:wakufuate Yesu
Ninayekupenda.:/


4. Utume mitume
Waende kote,
/:kwa nguvu yako Bwana
Wafu wafufuke.:/


5. Huku chini kote,
dunia nzima
/: lifanywe kundi moja,
Wewe Mchunga wao!:/



Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu