87.Ee, Watoto Njooni


1. Ee, watoto njooni, 
njooni Golgota, 
mtazameni Yesu
 aumizwavyo!


2. Mtazameni huko
Mkamtazame,
Sogeeni kwake, 
ametupenda.


3. Sogeeni kwake, 
   mkamtazame,
   mioyo iyeyuke,
  mwangukieni!


4. Mioyo imililie
Anayeteswa, 
mzigo wetu mkubwa 
aukubali.


5. Mzigo wa makosa 
  ya ulimwengu.
  Mpeni nanyi nyote 
  mioyo yenu!


6. Apata mshahara,
Ni kufa kwake,
Wewe una raha,
Kwake ni kufa


7. Atoa enzi 
   ya utukufu.
  Tuimbe Haleluya 
  na kumshukuru.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu