168.Shika Mikono Yangu

1. Shika mikono Yangu, 
niongoze, 
mpaka nimalizapo 
safari hii.
Nikiwa peke yangu 
napotea.
Po pote uendapo 
nipeleke!


2. Tuliza moyo wangu, 
uwe kimya, 
nikiona furaha au
 majonzi, 
unitulize sana, 
ndimi wako, 
sitaki neno tena, ila hilo.


3. Nisipoona leo nguvu 
yako, 
najua wanilinda, 
huniachi.
Shika mikono yangu 
niongoze,
Mpaka nimalizapo safari 
      hii!



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu