167.Ni sikukuu Ile

1. Ni sikukuu siku ile ya 
kumkiri mwokozi!
Moyo umejaa tele,
 kunyamaza huwezi.
Siku kuu! Siku kuu!
ya kuoshwa dhambi 
zangu kuu.
Hukesha na kuomba tu, 
ananiongoza miguu.
Sikukuu! Siku kuu!
Ya kuoshwa 
dhambi 
zangu kuu.


2. Tumekwisha kupatana 
mimi wake, Yeye wangu, 
na sasa nitamwandama, 
nikiri neneo la Mungu.
Siku kuu!...


3. Moyo tulia kwa Bwana 
kiini cha raha yako, 
huna njia mbili tena:
Yesu ndiye njia yako.
Siku kuu! …..


4. Nadhiri yangu ya mbele 
nitaiweka daima, 
hata ije siku ile 
ya kuonana salama.
      Siku kuu!



Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu