161.Watumwa Yesu

1. Watumwa waYesu 
   jitayarisheni, 
  shikeni neno la Yesu 
   kesha kila siku.


2. Tengenezeni taa, 
    wekeni mafuta, 
   jifungeni muwe mbele, 
   hata kukimbia.


3. Omba usikome 
   ninakuja sasa, 
  angalia nawaonya, 
  hima njooni kwangu.


4. We utaokoka, 
  ukikaa kwake, 
  kutazama uso wake 
 utavikwa taji


5. Bwana huandaa 
  wateule wake, 
  awachukue mbinguni, 
  karamuni mwake.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu