160.Maisha Ya Duniani

1. Maisha ya duniani
 ni mafupi, 
hata siku ni chache, 
zinapita hima na kutoweka
 wala hazirudi,
 zinatokomea.


2. Vivi hivi kila mmoja 
    tunakwenda 
   mbinguni kwake Mungu, 
   mbele ya kiti chake 
   cha hukumu 
    kila mtu atapewa haki
    yake.


3. Tunakwenda huko sote 
na waamini 
waamini waenda bila 
woga
Kwani wanaye Bwana 
wanaingia nchi takatifu.


4. Ee ndugu, twendeni sote 
kwake Mungu.
Ulimwengu wapita, 
utaangamia na dahambi 
zako, 
usipokubali nawe 
waangamia.


5. Basi ndugu tujikabidhi 
kwa Mungu tuwapo bado
 hai, 
kwani tukipuuza tutapotea, 
hatutaepuka hukumu 
milele.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu