157.MJini ni Mbinguni

1. Mjini ni mbinguni kwa 
Mungu,
hakuna mabaya na shida, 
waongofu wengi wamejaa 
wanaomsifu Mwana  
Kondoo
        Mbinguni,mbinguni 
       mjini mbinguni
       kwa Mungu 
       ndio mji wa 
     kutupendeza.


2. Wateule wengi wa huko 
wanaongazwa na Yesu, 
huko kuna furaha yetu.
Jua lake ni la uzima.
Mbinguni,…


3. Moyo wangu una furaha 
ya kwenda mbinguni kwa
 Mungu.
Bwana univute uliko, 
kiaga chako kitimie!
 Mbinguni,….


4. Kitambo kidogo kipite 
na mimi nifike mbinguni
Bwana wangu Yesu 
 nakuomba:
Ukoo wangu wote ufike 
mbinguni,… 



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu