149.Chini ya Bawa Lako

1. Chini ya bawa lako, 
ee Yesu nifiche
Unipe raha kwako 
kwenye mambo yote.
Na uwe yote kwangu, 
hekima shauri, 
na siku zangu zote 
niwe na amani.


2. Nisamehe makosa 
nioshe kwa damu, 
unipe nia safi 
na mapenzi mapya.
Wakubwa na wadogo 
ututunze sote, 
na kwa amani yako 
tupate furaha. 



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu