146.Mwenyezi, Mwenyezi, Mwenyezi

1. Mwenyezi, Mwenyezi,
Mwenyezi,
Jina lako litukuzwe sana.
Amini, Amin.
Hata ulimwengu wetu 
uteketezwe kwa moto.
Nazo nyumba zetu, 
ziimbe utakatifu wake,
Haleluya, Haleluya.




 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu