61.Sifuni Nyote Huruma
1. Sifuni nyote huruma ya
Mungu,
Kwa nyimbo nzuri,
Umati wa Yesu!
Atualika furahini:
/: Msifuni Bwana kwa
neema yake!:/
2. Yesu ni Mfalme
anayetawala;
Viumbe vyote
Vinamtumikia,
Hata malaika
Wanamwabudu,
/: wanamwimbia kwa
Sauti nzuri.:/
3. Enyi mataifa, hofu
Iacheni!
Njooni kwa Yesu,
Mchunga kondoo
Mwema.
Sikilizeni Neno lake:
/:Atukuomba kwa kufa
Kwake:/
4. Awapa watu chakula
Chochote,
atushibisha kama baba
mzuri,
aleta jua hata mvua,
/:atubariki kwa wema
wake.:/
5. Sifuni nyote huruma ya
Mungu,
Kwa nyimbo nzuri,
Umati wa wa Yesu!
Sasa huzuni twaishinda:
/:Msifuni Bwana kwa
neema yake!:/
Comments
Post a Comment