53.Tumshukuru Tumsifu

1. K:Tumshukuru, tumsifu
Mungu kwani ni
mwema.
W:Huruma yake ipo,
mchana na usiku.


2. K: Tangaza Jina lake,
Mungu wetu wa 
kweli.
W:Huruma yake…..


3. K: Kajaza maajabu,
        Mbinguni duniani.
  W: Huruma yake..


4. K: Kwa uwezo wake 
Mkuu, 
ameviumba vyote.
W: Huruma yake..


5. K: Aliongoza watu, 
ugenini zamani
W: Huruma yake..


6. K: Maskani ametupa,
       hapa ulimwenguni.
  W: Huruma yake..


7. K: Anawalisha watu, 
         hata wanyama pia.
  W: Huruma yake…


8. K: Na tumwimbie mungu, 
kwani Yeye ni 
mwema.
W: Huruma yake.




Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu