50.Twapenda ukaapo


1. Twapenda ukaapo 
Bwana wetu enzeni,
Furaha zako wewe 
zinazipita zote.


2. Palipo pa kuomba
Wajapo watu wako
Na wewe Bwana upo,
uwakubali wote.


3. Twapenda Neno lako,
Habari za wakovu,
Na nguvu za kushinda,
za shangwe za mbinguni.


4. Twapenda nyimbo zako,
Tunaziimba hapa,
mpaka tutaziimba 
pamoja na malaika.


5. Utujalie Yesu,
Tuzidi kukupenda,
Tuone uso wako
Utakavyotakata.



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu