49.Nakutegemea Yesu

1. Nakutegemea Yesu,
Yesu peke yako tu.
Wewe u Mkombozi
wangu
unitulizaye.
Nakutegemea Yesu,
Kwani u Mkombozi
Ukinifia.
Ndipo nikakupenda sana, 
wala sikuachi!


2. Wewe Mfalme
mkubwa sana 
unaondoa dhambi.
Wanionea huruma,
Huna madanganyo.
   Nakutegemea Yesu,…


3. Wewe umechunga
 kondoo,
ukitanguliza mwanga.
Nakungoja mwongozaji, 
nisipotee njia.
   Nakutegemea Yesu,..


4. Wanichukulia mzigo,
sianguki majini.
Natambua wanipenda,
huniachi pekee.
   Nakutegemea Yesu,….


5. Bwanangu umeniweka 
ufalmeni ni kuzuri.
Nasifu damu yako 
inayoniosha.
     Nakutegemea Yesu,..



 

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu