38. Sauti imetoka Mbinguni
1. K: /; Sauti imetoka mbinguni;
W: Sauti imetoka mbinguni. :/
K/:Ahubiri malaika
wake Mungu;
W; Ahubiri malaika
wake Mungu:/
2 K: /: Ninyi watu acha kuogopa;
W; Ninyi watu acha kuogopa:/
K: /; Nawaletea h a bari,
furahini;
W; Nawaletea habari,
furahini:/
3 K: /: Leo amezaliwa Mwokozi;
W; Leo amezaliwa Mwokozi:/
K;/; Kazaliwa Kristo ni
Mwokozi wenu:/
W: Kazaliwa Kristo ni
Mwokozi wenu;/
4. K; /: Mtamwona
kalazwa, horini;
W: Mtamwona
kalazwa, horini. :/
K; /: Mtamwona huyo
amevikwa nguo;
W: Mtamwona huyo
amevikwa nguo:/
5. K:/: Nanyi makundi,
huko mbinguni;
W: Nanyi makundi,
huko mbinguni. :/
K: Saidia kushukuru
Mungu w/etu;
w: Saidia kushukuru
Mungu wetu.:/
6’ K: Utukufu wa Mungu
mbinguni;
Utukufu wa Mungu
Mtunga maneno: B. Mung'ong’o
mbinguni.
K: /: Kawapa watu
amani duniani;
W; Kawapa watu amani
duniani. :/
7. K: /: Hakika Mungu
ametuona;
W: Hakika Mungu
ametuona. ;/
K: /: Tufurahi, tumfurahie
Mwokozi;
W: Tufurahi, tumfurahie
Mwokozi. :/
8. K: /: Na wenzetu waone,
Ee Mungu;
W: Na wenzetu waone,
Ee Mungu.:/
K: /: Huruma zitufikie
sisi sote;
W: Huruma zitufikie
sisi sote. :/
9. K: /: Waokoa roho za
waovu;
W: Waokoa roho za
waovu. :/
K: /: Aaminiye ndiye
mwema kwake
Mungu
W: Aaminiye ndiye
mwema kwake
Mungu.:/
10. K: /: Nasi tuipokee habari;
W: Nasi tuipokee habari. :/
K: /: Tuiweke kama
Maria moyoni;
W: Tuiweke kama Maria
moyoni.:/
Comments
Post a Comment