20. Njooni wachungaji Bethlehemu
Njooni wachungaji
Bethlehemu.
Njooni kumtazama
Mtoto mzuri.
Mwana wa Mungu amezaliwa.
Baba amtuma awakomboe
Msiogope!
2. Twende Bethlehemu tukaone
tulivyoambiwa na malaika.
Tuyaonayo tutatangaza
na kutukuza kwa nyimbo
Haleluya!
3. Kweli malaika wametanganza
Furaha kubwa kwa wachungaji.
Sasa po pote patengenezwe
na watu wote watapendezwa
Furahini!
Comments
Post a Comment