8. Amekuja Mwokozi


Sauti na wimbo: Kibena, T.M.3


1. K: /: Amekuja
W: Mwokozi.:/
K: /: Ufalme wa juu karibu.
W: Amekuja Mwokozi.:/
2. K: /: Geukeni
W: mioyo.:/
K: /: Watatupwa wenye kiburi.
W: Geukeni mioyo. :/


3. K /: Shoka lipo
W: Shinani,:/
K: /:Mti usiozaa wakatwa.
W: Shoka lipo shinani.:/


4. K: /: Ana ungo
W: mkononi, :/
K: kupepeta ngano yake.
W: Ana ungo mkononi.:/


5. K: /:Yatachomwa
W: Makapi,:/
K: Ngano
yawekwa chanjani.
W: yatachomwa makapi :/


6. K: /:Nabatiza W: kwa maji, :/
K: Yeye, hubatiza kwa Roho.
W: Nabatiza kwa maji. :/


7. K: /:Mbele yake şifa i, :/
W: Şifa i,:/
K: Kumfungulia viatu,
W: Mbele yake sifai. :/


8. K: /: Elekea
W: Mbinguni,:/
K: Kristo katufanyia Njia.
W: Ya kwendea
mbinguni.:/

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu