5 Nikulakije Vema
Sauti: Valet will ich dir geben
Wimbo: Wie soil ich dich empfangen
pB 159, Mel 8, N. K. 5, S. B. H. 11
Mtunga sauti: M.
Mtunga maneno:
1607-1676
Teschner, 1613
Paul Gerhardt.
1. Nikulakije vema
Bwana wangu Yesu?
Wote wanakungoja
wapewe uzima.
Nuru yako ing'aze
hata moyo wangu.
Nijue mambo mema,
yakupendezayo.
2. Wamekutandikia
maua na nguo.
Nami nakuimbia
nyimbo za furaha.
Moyo ukupendeze
kwa sifa na nyimbo
ukakutumikie
siku zangu zote.
3. Umetoka mbinguni
ukawa maskini.
Ukaacha furaha
utupe uzima.
Na tuliponyang'anywa ufalme
na raha,
Mponya wetu
kuturudishia.
4. Nalifungwa na mw0vu:
Ukanifungua
Nikawa nimetwezwa,
ukanitukuza. ’
Ukanifanya mkubwa,
ukanipa mali,
zisizomalizika,
kwa kutu na wezi
5. Umenijia mimi,
sababu ya nini?
Sababu ya kupenda,
uwaponye wote;
waonao huzuni,
kwa makosa yao,
wakijuta kwa kweli,
utawapokea
6. Ushike neno hili:
Umati wa Yesu,
ukiwa na huzuni,
na shida popote.
Usiogope kitu,
wokovu tayari.
Anayetufariji,
yu karibu sasa.
Comments
Post a Comment