14. Siku ya Furaha (Aliyozaliwa Yesu)
Sauti: O sanctissima, P.B. I 233, N.K. 12
Wimbo: O du froehliche, o du selige.
1. Siku ya furaha,
siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
/: Tulipotea Yesu akaja.
Furahini, furahini,
Wakristo!:/
2. Siku ya furaha,
siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
/:Yesu ashuka, atuokoe.
Asili: Sicily, 1803
Mtunga maneno: J. D. Falk, 1786-1826
Furahini, furahini,
Wakristo! :/
3. Siku ya furaha,
siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
/:Malaika wote
wamsifu Mungu.
Furahini, furahini,
Wakristo!:/
Comments
Post a Comment