10. Bwana Anakuja



1. Bwana anakuja
twendeni kumlaki,
Bwana Mungu wa
majeshi.
Iwasheni mioyo
tukampokee,
huyo Mwenye utukufu.
/:Karibu Bwana, njoo:/
Shinda pamoja nasi.


2. Wewe ndiwe Mfalme, Mfalme
wa mbinguni,
utulishe wenye njaa.
Wewe ndiwe กาพลกga
sisi tu vipofu,
tufanye tuone tena.
/:Karibu Bwana...


3. Wewe ndiwe njia,
tutakufuata'
turudi kwa Baba /etj.
Wewe ndiwe kwe!i,
utuangazie,
tusije tukapotea.
/:Karibu Bwana...


4. Hosana, Hosana,
huyo mbarikiwa,
anakuja kwetu sisi.
Aja kutulisha
na kutugawia
matunda ya ukombozi.
/:Karibu Bwana...

Comments

Popular posts from this blog

17. Tuimbe na kusifu

32 Kitoto Mpenzi Lala Wee

143.Mungu ni wa Utukufu